iqna

IQNA

sala ya ijumaa
Msikiti wa Al Aqsa
IQNA - Takriban waumini 125,000 wa Kipalestina walikusanyika katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa al-Quds (Jerusalem) kwa ajili ya sala ya tatu ya Ijumaa ya mwezi mtukufu wa Ramadhani licha ya kuwekewa vikwazo vikali na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3478604    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/30

Jinai za Israel
IQNA - Vikosi vya Israel vimewashambulia waumini karibu na lango la Asbat, lango kuu la kuingia Msikiti wa Al-Aqswa katika mji Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, wakiwazuia na kuwapiga walipokuwa wakijaribu kuingia msikitini humo kwa ajili ya Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3478401    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
IQNA-Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesema shambulio la makombora la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) dhidi ya kituo kikuu cha ujasusi cha shirika la ujasusi la utawala haramu wa Israel (Mossad) katika eneo la Kurdistan ya Iraq limetoa onyo kali mkabala wa tishio la Wazayuni.
Habari ID: 3478219    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19

Jinai za Israel
IQNA - Maelfu ya waumini wa Kiislamu walizuiliwa na jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) kwa ajili ya kuswali swala ya Ijumaa.
Habari ID: 3478216    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
IQNA-Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran amesema kuwa, leo hii Yemen shujaa inaungwa mkono kila upande na kwamba licha ya kupita siku 100 tangu utawala wa Kizayuni uanzishe jinai zake kila upande lakini imeshindwa kufikia malengo yake huko Ghaza.
Habari ID: 3478188    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/12

Jinai za Israel
IQNA - Idara ya Wakfu ya Kiislamu, inayosimamia Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem), imesema leo kwamba ni waumini 15,000 pekee walioruhusiwa kuingia katika eneo hilo takatifu kwa ajili ya Sala ya Ijumaa kutokana na vikwazo vilivyowekwa na utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3478154    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/05

Jinai za Israel
IQNA - Maelfu ya Wapalestina hawakuweza kuhudhuria sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa wiki ya kumi kutokana na vizingiti vilivyowekwa na utawala dhalimu wa Israel tangu kuanza kwa vita dhidi ya Gaza mnamo Oktoba 7.
Habari ID: 3478040    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/16

Watetezi wa Palestina
IQNA- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesema Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa na muqawama au wanamapambano wa Kiislamu wa Wapalestina wa Gaza vimefichua kuwepo nidhamumifumo na miundo kadhaa ya kisiasa duniani, sambamba na kuonyesha kuwepo stratejia mpya ya kambi ya muqawama katika eneo.
Habari ID: 3478038    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/15

Watetezi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)-Imamu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran ameashiria mpango wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kutatua kadhia ya Palestina kwa njia ya kura ya maoni kwa msingi wa "kila Mpalestina ana kura moja", na kusema: Maneno yetu ni ya kimantiki na ya kidemokrasia.
Habari ID: 3478008    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08

Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Harakati ya Kiislamu (Muqawama) ya Kupigania Ukombozi wa Palestina (HAMAS) ilivunja mgongo wa Israel kwa kutegemea imani na ushujaa katika operesheni ya kimbunga ya Al-Aqswa.
Habari ID: 3477938    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Akizungumza leo katika sala ya Ijumaa ya mjini Tehran, Hujjatul Islam wal Muslimeen Kazem Sediqi amesema kuwa leo mrengo wa mapambano ya Kiislamu ni mrengo wa kimataifa na kuongeza kwamba mrengo huo umabadilisha dunia.
Habari ID: 3477832    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/03

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Vikosi vya Israel vimewabana waumini wa Kiislamu wa Kipalestina katika kitongoji cha Wadi Al-Joz mjini Al Quds (Jerusalem), na kuwazuia kufika Msikiti wa Al-Aqsa kwa ajili ya Sala ya Ijumaa ya kila wiki.
Habari ID: 3477795    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Kimbunga cha Al-Aqsa
TEHRAN (IQNA) - Akizungumzia mafanikio ya operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa, Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema: "Siku ya (Kimbunga) Tufani ya Al-Aqsa" inapaswa kuzingatiwa kuwa Siku ya Al Baraka kwa watu wa Palestina na Siku ya Nakba kwa utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3477794    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa hapa Tehran hii leo amesema matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein (AS) ni zoezi la kimaanawi la aina yake na lisilo na mfano.
Habari ID: 3477604    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/15

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran ameeleza kuwa, wale wanaochoma moto nakala za Qur’ani Tukufu kwa hakika wanajichoma moto wao wenyewe na kusema: Si jambo rahisi kwa kila mtu kujua hakika ya Qur’ani ambayo ni roho na rehema ya Mwenyezi Mungu, na kufanya ukaidi dhidi ya neno la Mungu ni ishara ya roho ya kishetani.
Habari ID: 3477381    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04

Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran aliyataja mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ndio sababu kuu ya vita mseto na mashinikizo ya pande zote ya maadui.
Habari ID: 3477018    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/19

Sura za Qur'ani Tukufu / 62
TEHRAN (IQNA) - Katika hadithi za manabii wa kiungu tunasoma kuhusu makundi ya watu wanaojiona kuwa wafuasi wa Mitume wa Mwenyezi Mungu lakini kwa hakika hawajali amri za Mwenyezi Mungu na mafundisho ya manabii.
Habari ID: 3476597    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/21

Iran ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Baada ya kuswali Sala ya Ijumaa, wananchi kote katikaa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamejitokeza mitaani na kulaani hatua za hivi karibuni za nchi za Magharibi na Ulaya zikiongozwa na Marekani za kudhalilisha matukufu ya Kiislamu na kuliwekea vikwazo Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
Habari ID: 3476471    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27

Misikiti Miwili Mitakatifu
TEHRAN (IQNA) - Kichina kimeongezwa kwenye orodha ya lugha ambazo hutarjumiwa au hutafsiriwa katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid Al Haram, na Msikiti wa Mtume SAW, Al-Masjid an-Nabawi, katika Vyombo vya Habari.
Habari ID: 3476238    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/12

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) – Mashabiki wa soka wa Waislamu ndani na nchi na kutoka mataifa mengine duniani walihudhuria Sala ya Ijumaa mjini Doha, Qatar huku Kombe la Dunia la kwanza katika nchi ya Kiislamu likiendelea.
Habari ID: 3476152    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/26